Jipatie Riwaya Hii ya Kusisimua Iitwayo MY LIFE Toka kwa Mtunzi Makini Eddazaria

"Jojo msichana mdogo, anaye achwa yatima na kukabidhiwa jukumu la kumlea mdogo wake Judy ikiwa hana uwezo wa kupata pesa anajikuta akijitoa maisha yake sadaka kwa kuamua kujitumbukiza katika biashara ya madawa ya kulevya badala ya kunufaika kwa biashara hiyo, anajikuta akiingia mikoni mwa askari nchini china na ili kuhakikisha kwamba anaishi vizuri gerezani, anaamua kuwa MSAGAJI wa wasichana wenzake. "Je atafanikiwa kwa tabia hiyo? Ungana nami kwenye muandishi wako Eddazaria G.Msulwa kwenye simulizi hii ya kusisimua" ==>Jipatie kitabu hichi kupitia WhatsApp namba 0657072588 kwa ofa ya sh 10000 tu, katika mfumo wa soft copy.Au kupitia email eddazariaM@gmail.com. Wahi sasa ofa hii ni leo tu 10 May 2017. Endelea kuni support na Mungu akubariki. Nunua kwa MPESA 0768516188 JOYCE MBWAMBO AU TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA

No comments